ANGALIZO: Tovuti hii inatoa huduma kwa kufuata/ kulinda sheria za uandishi hasa kwa kutumia P.DomainΒ Resources.Β
Fursa Adhimu Karne ya 21 Fursa Ambazo Wengine Hawazioni Tanzania zama hizi
Sh 6,300
Fursa Adhimu Karne ya 21 ni kitabu kinachoeleza jinsi ya kutambua na kutumia fursa zinazopatikana Tanzania katika biashara, ajira, teknolojia, kilimo, uwekezaji na uchumi wa kidijitali. Kimeandaliwa kwa lugha rahisi na kinafaa kwa wanafunzi, vijana, wafanyakazi na wajasiriamali.
Gundua fursa za biashara, ajira, uwekezaji, teknolojia na kilimo ambazo watu wengi hawazioni. Kitabu cha Fursa Adhimu Karne ya 21 kinakupa maarifa ya kutambua na kutumia fursa za mafanikio Tanzania.






Reviews
There are no reviews yet.